Saturday, March 10, 2012

SALAMU KUTOKA MWANDISHI

Ni muda mrefu sasa umepita pasipo kujuliana hali na mambo mengine kama hayo' labda niseme tu yote kwa yote tuko pamoujah ni vile tu haya majukumu yanakua mengi sana ' waswahili waliwahi kutuambia maisha ni kutafuta na si kutafutana lakini pia kutafutana ni sehemu ya maisha nah mnaweza kutafutana kwa malengo mazuri tu ya kukuza na kujenga uchumi wa mtu binafsi pamoja na wa serikali kwa ujumla Mara baada ya kuzungumza hayo labda niwashukuruni nyote kwa kuwa pamoujah' katika safari hii tuliyonayo ambayo hatujajua mwisho wa safari hiyo ni lini ahsanten' kwa kuwa pamoujah' . . . 'dawg guy'z,

Monday, September 12, 2011

Mambo vipi ndugu jamaa na marafiki ambao ni wapenzi wa burudani wa hapa nchini Tanzania?
Bila wasiwasi nadhubutu kusema kwamba nyote mu wazima wa afya tele na wingi wa rehema za kwake Mwenyezi Mungu Ambaye anatufanya tunakutana tena hapa leo hii!!!!


Najua ni muda mwingi sasa hamjapata kuona update zozote ndani ya blog hii ya kijamii .................... baaaaaaaaaaaaaaaaaaasss!!
muda ndo huu sasa wa wewe kupata habari nzuri za kufurahisha kuburudisha na kukufanya mwenye aman muda wote mara tu utapowasili ndani ya blog hii ya kwako.

Kama nawe utapenda kushiriki kwa namna moja ama nyingine katika kuhakikisha tunatoa burudani ya uhakika tafadhali usisite kuwasiliana nami kupitia barua pepe yangu ya zadjone@yahoo.com

THANX MUCH YA ALL GUYZ!!!!!!
together we made it peoplezzzzz!!!